Maua ya mwituni (au Mauamwitu) ni maua yanayokua katika mwitu au msitu, ikimaanisha hayakuzwi kwa mbegu. Huu msemo unamaanisha si mseto wala kilimo chaguliwa kwa kuwa ni tofauti kwa muonekano, kwa sababu ni maua ya asili kwa ardhi hiyo, hata kama kukua kwake hakutakua kiasili. Msemo huashiria mimea ya maua kiujumla hata kama hayajachanua wala si tu ua.

Aina tano za mauamwitu yaliyostawi katika cm² 1,000 huko Kanada.
Mauamwitu wa Australia Magharibi.
Mauamwitu huko Texas, Marekani.
Mauamwitu katika Death Valley National Park.

Katika hotuba ya mlimani, Yesu aliyazungumzia ili kusifu uzuri wake uliozidi ule wa mavazi ya mfalme Solomoni na kuhimiza waamini kumtegemea zaidi Mwenyezi Mungu (Math 6:28-30).

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Maua ya mwituni kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.