Mboga
Mboga-refu (Cucurbita moschata)
Mboga-refu
(Cucurbita moschata)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Cucurbitales (Mimea kama mboga)
Familia: Cucurbitaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mboga)
Jenasi:

Miboga, pia milenge, ni mimea ya familia Cucurbitaceae kwenye jenasi Cucurbita, Momordica na Coccinia. Hukuzwa sana duniani kokote kwa ajili ya matunda yao makubwa yanayoitwa maboga.

Spishi zinazokuzwa katika Afrika hariri

Picha hariri