Michael Chabon (amezaliwa 24 Mei 1963) ni mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 2001, alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi kwa riwaya yake The Amazing Adventures of Kavalier & Clay.

Michael Chabon mnamo 2006
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Michael Chabon kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.