Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi

Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi ni aina moja ya Tuzo za Pulitzer ambazo hutolewa kila mwaka nchini Marekani. Ni miongoni mwa aina za asili zilizotolewa kuanzia 1917 ambapo iliitwa Tuzo ya Pulitzer ya Riwaya (hadi 1947). Tuzo ya Bunilizi humheshimu mwandishi Mwarekani aliyetoa andiko la bunilizi katika mwaka uliopita.

Kuanzia 1980, wagombea watatu wa mwisho walikuwa hutangazwa, yaani mshindi mkuu pamoja na mshindi wa pili na wa tatu.

Washindi hariri

Katika miaka 31 ya kwanza, chini ya jina la Tuzo ya Riwaya, tuzo ilitolewa mara 27; katika miaka 69 tangu pale hadi 2016, chini ya jina la Tuzo ya Biunilizi, ilitolewa mara 62. Maana yake, hakuna tuzo katika miaka 11, na hakuna kugawanya tuzo kati ya waandishi wawili. Waandishi watatu wametuzwa Tuzo hiyo mara mbili: Booth Tarkington (1919, 1922), William Faulkner (1955, 1963), na John Updike (1982, 1991).

Miaka ya 1910 hariri

Miaka ya 1920 hariri

Miaka ya 1930 hariri

Miaka ya 1940 hariri

Miaka ya 1950 hariri

Miaka ya 1960 hariri

Miaka ya 1970 hariri

Miaka ya 1980 hariri

Kuanzia hapo, kunatajwa mshindi pamoja na wagombea wawili wengine wa mwisho.

Miaka ya 1990 hariri

Miaka ya 2000 hariri

Miaka ya 2010 hariri

Marejeo hariri

[1]

  1. http://www.pulitzer.org/winners/viet-thanh-nguyen