Adobe ni kampuni ya programu ya Marekani. Kawaida, mipangilio yote wanayofanya ni kwa matumizi ya ubunifu, kama vile Adobe Flash, Adobe Dreamweaver na Adobe Photoshop. Bidhaa zote za Adobe kwenye tovuti yao zinaruhusiwa kupakuliwa, lakini kwa muda mdogo tu.

Chapa ya mifumo ya adobe
Chapa ya mifumo ya adobe
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.