Ministry of Education, Science, Technology and Vocational Training
Ministry of Education, Science, Technology and Vocational Training ni wizara ya Tanzania inayohusika na utoaji wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi na sera juu ya sayansi na teknolojia[1].
Historia hariri
Wizara iliundwa na Rais John Magufuli kama mchanganyiko wa majukumu ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia. Jukumu la mawasiliano liliunganishwa kuwa Wizara ya Ujenzi, Usafiri na Mawasiliano.
Marejeo hariri
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |