Katika utarakilishi, mpangizo wa mfumo (kwa Kiingereza: computer configuration au settings) ni programu inatumika ili kubadilisha sifa za mfumo wa uendeshaji.

Mpangizo wa mfumo wa uendeshaji unaitwa Ubuntu wa Linux

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.