Mfumo wa uendeshaji

Katika utarakilishi, mfumo wa uendeshaji (kifupi: MU; kwa Kiingereza : "Operating system") ni programu ya mfumo unaodhibiti vifaa, programu tete, rasilimali ya tarakilishi na unaotoa huduma kwa programu ya tarakilishi.

Ubuntu 19.04 ulio mfumo wa uendeshaji.

Kwa mfano, Ubuntu, Windows, Mac OS au Linux ni mifumo ya uendeshaji.

MarejeoEdit

  • Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.