Mto Magech unapatikana Ethiopia.

Ramani ya beseni la mto Abay.

Tawimto lake ni mto Angereb Mdogo.

Mwisho unachangia ziwa Tana, ambalo maji yake yakitoka yanaelekea mto Abay (Nile ya Buluu).

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Ethiopia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Magech kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.