Mto Mlomboji ni mto wa mkoa wa Njombe (Tanzania Kusini Magharibi) ambao ni tawimto dogo la Ruaha Mkuu.

Baadaye mto huo mkubwa unapitia Iringa na tambarare ya Kilombero hadi kuishia katika mto Rufiji ambao unamwaga maji mengi katika bahari Hindi.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri