Mto Nossob ni mto wa Afrika Kusini, Botswana na Namibia, tawimto la mto Molopo.

Mto Aoub ,tawi la Mto Nossob

Urefu wake ni km 740 hivi.

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Nossob kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.