kambi ni mahali ambapo watu au kundi fulani la watu hukaa kwa dhamira ya kujifunza kitu fulani.Watu hao huweza kujifunza vitu mbalimbali ili wawezekukabiliana na kundi fulani la watu au mambo mengine mengi .watu hao waweza kuwa wanajeshi,wanafunzi,wachezaji,n.k.Mafunzo wanayoyapata yatawasaidia katika maisha yao na kwa vitu wanavyohitaji kuvifanya kwa faida yao na nchi kwa ujumla.Mafunzo wanayoyapata yaweza kuwa kujifunza namna ya kutumia silaha zao,kuweza kuwapiga wenzao kirahisi zaidi,kufundisha wenzao,kujibu kwa urahisi katika mitihani yao ya taifa na mingine kwa ujumla.Katika kambi hiyo wanaweza kujifunza kuishi wakiwa wenyewe bila ya wazazi wao