Lugha
sw Mtumiaji huyu ni mwongeaji wa Kiswahili Fasaha.


Mimi Paul Gidion ni mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam ninayesoma shahada ya Sayansi ya tarakilishi na takwimu. Ninapenda sayansi na tekinolojia, lugha, muziki na wakati mwingine siasa.

KWC Mtumiaji huyu ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
KWC Mtumiaji huyu ni mshiriki katika Shindano la Wikipedia ya Kiswahili la 2009.   (Submissions)


Kigezo:User Udar