Muhammad Ibrahim Sanya
Muhammad Ibrahim Sanya (amezaliwa tar. 21 Julai 1956) ni mbunge wa jimbo la MjiMkongwe katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CUF.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ "Mengi kuhusu Muhammad Ibrahim Sanya". 19 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-27. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. Unknown parameter
|=
ignored (help)
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |