Mwamba Productions

Mwamba Productions ni studio ya kufanyia rekodi za muziki kutoka nchini Finland-Tanzania. Studio ilianzishwa mnamo mwaka wa 2004 ikiwa na wasanii Wazungu tu, lakini baadaye ikaja kuwa na wasanii wengine pale ilipoanza kufanya kazi na wasanii wa Tanzania. Studio imeshatoa albamu kadhaa za muziki wa bongo flava na nyingine nyingi kwa nchi ya Filanda. Kwa albamu za bongo, studio imetoa albamu ya Bomoa Mipango, Mambo Jambo n.k.[1]

Mwamba Productions
Logo ya Mwamba Productions
Imeanzishwa 2004
Mwanzilishi Miikka Mwamba
Ilivyo sasa Inafanya kazi
Aina za muziki Mbalimbali
Nchi Finland
Tanzania
Mahala Lohja
Tovuti Tovuti rasmi

Historia hariri

Wasanii hariri

Marejeo hariri

  1. Mambo Jambo Archived 21 Agosti 2008 at the Wayback Machine. katika tovuti ya Miikka Mwamba

Viungo vya nje hariri


  Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mwamba Productions kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.