Mwambao

ukarasa wa maana wa Wikimedia

Mwambao ni sehemu iliyo karibu na bahari, ziwa au mto pale ambako nchi kavu na maji zinakutana.

Ni neno ambalo maana yake hufanana na pwani lakini linatazama eneo karibu zaidi na maji pekee.

Hivyo inaweza kutaja sehemu maalum karibu na bahari, kama vile kata ya Mwambao (Rufiji).

Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.