Nduwimana Jean Paul

Nduwimana Jean Paul (anayejulikana kwa jina lake la kisanii Noopja au Country Boy; alizaliwa 7 Agosti 1983) ni mwanamuziki, mwalimu wa vijana, mwandishi na mfanyabiashara wa Rwanda.[1] Noopja ndiye mwanzilishi wa studio inayoongoza Afrika Mashariki ya kurekodi 'Country Records',[2] mwanzilishi wa kituo cha redio cha Rwanda 105.7 FM Country FM,[3] na mkurugenzi wa Necessary Generation, shirika lisilo la kiserikali la ndani ambalo linasaidia vijana walio katika mazingira magumu kutoka sehemu mbalimbali za Rwanda.[4]

Marejeo hariri

  1. "Leading Rwanda: Creating, communicating and realising your vision". The New Times | Rwanda (kwa Kiingereza). 2019-12-19. Iliwekwa mnamo 2022-04-17. 
  2. "Why Rwanda getting on Spotify is such a big deal". The New Times | Rwanda (kwa Kiingereza). 2021-02-23. Iliwekwa mnamo 2022-04-17. 
  3. "Injira muri studio za Country FM, radio nshya iri guca ibintu mu Burengerazuba bw’u Rwanda (Amafoto na video) -". Iliwekwa mnamo 2022-04-17. 
  4. "Necessary Generation". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-10-25. Iliwekwa mnamo 2022-04-23.