Notoptera
Mtambaaji-miamba (Mantophasma zephyra)
Mtambaaji-miamba (Mantophasma zephyra)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Arthropoda (Wanyama wenye mwili wa pingili na miguu ya kuunga wasio na ugwe wa mgongo kama wadudu, nge, buibui)
Nusufaila: Hexapoda (Arithropodi wenye miguu sita)
(bila tabaka): Dicondylia (Wadudu walio na mandibula zenye condyle mbili)
Ngeli: Insecta (Wadudu)
Linnaeus, 1758
Nusungeli: Pterygota (Wadudu wenye mabawa)
Lang, 1888
Oda: Notoptera
Crampton, 1915
Ngazi za chini

Nusuoda 2 na familia 4:

Notoptera (notos = mgongo, ptera = mabawa) ni oda ndogo ya wadudu iliyo na spishi 55 zinazoishi hadi sasa. Spishi hizi zimeainishwa katika familia mbili: Grylloblattidae (wadudu-barafu) na Mantophasmatidae (watambaaji-miamba). Kuna familia mbili za spishi zilizoisha sasa.

Wadudu-barafu wanatokea Amerika ya Kaskazini na Asia ya Mashariki juu ya milima. Hutafuta arithropodi wadogo waliokufa kwa barafu.

Watambaaji-miamba wanatokea Afrika ya Kusini tu lakini spishi moja inatokea Tanzania. Hula wadudu wengine.

Jenasi za Afrika hariri

  • Austrophasma
  • Hemilobophasma
  • Karoophasma
  • Lobatophasma
  • Mantophasma
  • Namaquaphasma
  • Pachyphasma
  • Praedatophasma
  • Sclerophasma
  • Striatophasma
  • Tanzaniophasma
  • Tyrannophasma
  • Viridiphasma

Picha hariri

  Makala hii kuhusu mdudu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Notoptera kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  Makala hii kuhusu "Notoptera" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili icebug, rock crawler kutoka lugha ya Kiingereza. Neno (au maneno) la jaribio ni mdudu-barafu, mtambaaji-miamba.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.