Arithropodi
Maumbile ya mdudu
Maumbile ya mdudu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Arthropoda
Ngazi za chini

Arthropodi ni kundi kubwa la wanyama wenye mwili wa pingili na miguu ya kuunga wasio na ugwe wa mgongo. Mifano ni wadudu, nge, buibui au kaa. Katika uainishaji wa kisayansi wamejumlishwa katika faila ya Arthropoda.

Wote huwa na kiunzi cha nje kinachoundwa na khitini.

Spishi nyingi ni ndogo, hata chini ya mm 1 lakini spishi kadhaa ni kubwa sana, hadi zaidi ya m 1. K.m. kaa wa Japani anaweza kufikia uzito wa kilogramu 15-20. Faila hii ina spishi nyingi sana zinazopatikana kila sehemu ya dunia. Vifundo vya arithropodi ni kama vipashio vilivyounganishwa kuleta mtiririko wa mwili wao.

Uainishaji hariri

Mwainisho wa kawaida wa arithropodi unaonyeshwa katika sanduku la uainishaji. Lakini tangu mwanzo wa karne hii miainisho mibadala imependekezwa. Pendekezo la hivi karibuni ni hili (vifundo havikupewa tabaka)[1]:

Picha hariri

Marejeo hariri

  1. Todd H. Oakley, Joanna M. Wolfe, Annie R. Lindgren & Alexander K. Zaharoff, 2013. Phylotranscriptomics to bring the understudied into the fold: monophyletic ostracoda, fossil placement, and pancrustacean phylogeny. Molecular Biology and Evolution 30(1): 215-233.

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Arithropodi kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.