Orodha ya vitabu na maandiko yaliyouzwa kwa bei ghali zaidi.

Hii ni orodha ya vitabu vilivyochapishwa, maandiko ya mkono, barua, alama za muziki, vitabu vya vichekesho, ramani na nyaraka nyingine ambazo zimeuzwa kwa zaidi ya Dola za Kimarekani milioni moja. Tarehe za utunzi wa vitabu hivi zinaanzia kwenye karne ya 7 kwa jani la Quran lililoandikwa tena (palimpsest) na Injili ya Mtakatifu Cuthbert ya mwanzoni mwa karne ya 8, hadi maandiko ya mkono ya karne ya 21 ya J. K. Rowling ya The Tales of Beedle the Bard. Kitabu cha mwanzo kabisa kilichochapishwa katika orodha hii ni toleo la mbao la Book of Tang lililoandikwa na kuhaririwa wakati wa nasaba ya Southern Song karibu mwaka 1234. Kitabu cha kwanza kufikia bei ya kuuza zaidi ya Dola milioni moja kilikuwa nakala ya Gutenberg Bible iliyouzwa kwa Dola milioni 2.4 mwaka 1978.

John James Audubon

Marejeo

hariri
  Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Orodha ya vitabu na maandiko yaliyouzwa kwa bei ghali zaidi. kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.