Precious Dede
mchezaji wa mpira wa miguu
Precious Uzoaru Dede (alizaliwa 18 Januari 1980) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa nchini Nigeria ambae aliyecheza kama golikipa. Zamani alicheza katika klabu kadhaa kama vile Delta Queens FC, Ibom Queens na Arna-Bjørnar, na pia kuonekana mara 99 katika timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria.[1][2]
Precious Uzoaru Dede | |
Amezaliwa | Precious Dede 18 January 1980 Nigeria |
---|---|
Nchi | Nigeria |
Kazi yake | Mchezaji wa mpira wa mguu |
Marejeo hariri
- ↑ "List of Players – 2015 FIFA Women's World Cup", FIFA. Retrieved on 2022-05-13. Archived from the original on 2016-04-10.
- ↑ Nigerianer til Arna-Bjørnar (no). Aftenposten (31 March 2009).
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Precious Dede kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |