Priština ni mji mkuu wa Kosovo ambayo kwa wenyeji wengi na kwa nchi mbalimbali kwa sasa ni jamhuri huru.

Mji wa Prishtina







Priština

Nembo
Majiranukta: 42°39′52″N 21°09′54″E / 42.66444°N 21.16500°E / 42.66444; 21.16500
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 211,129

Serbia na nchi nyingine kadhaa zinaouona mji huo kuwa makao makuu ya jimbo la kujitegemea la Kosovo ndani ya Serbia.

Idadi ya wakazi wake ni takriban 211,129.

Tazama pia hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: