Prishtina
Priština ni mji mkuu wa Kosovo ambayo kwa wenyeji wengi na kwa nchi mbalimbali kwa sasa ni jamhuri huru.
Priština | |||
| |||
Majiranukta: 42°39′52″N 21°09′54″E / 42.66444°N 21.16500°E | |||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 211,129 |
---|
Serbia na nchi nyingine kadhaa zinaouona mji huo kuwa makao makuu ya jimbo la kujitegemea la Kosovo ndani ya Serbia.
Idadi ya wakazi wake ni takriban 211,129.
Tazama pia hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu: