Raphael Michael Japhary

Raphael Michael Japhary ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CHADEMA. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Moshi Mjini kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo hariri

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017