Remscheid ni mji wa Rhine Kaskazini-Westfalia nchini Ujerumani. Iko kando ya mto Wupper. Idadi ya wakazi wake ni takriban 111,422. Mji ulianzishwa 1173.

Remscheid

Nembo
Remscheid is located in Ujerumani
Remscheid
Remscheid

Mahali pa mji wa Remscheid katika Ujerumani

Majiranukta: 51°11′0″N 7°12′0″E / 51.18333°N 7.20000°E / 51.18333; 7.20000
Nchi Ujerumani
Jimbo Rhine Kaskazini-Westfalia
Idadi ya wakazi (2009)
 - Wakazi kwa ujumla 111,422
Tovuti:  www.remscheid.de
Remscheid-Lennep

Tazama pia hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Remscheid kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.