Rongo ni mji wa Kenya katika Kaunti ya Migori, haya ndiyo maeneo ya watu wa Kamagambo. Rongo ni mji ambao umenawiri kwa ukulima wa miwa.

Rongo.

Mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 82,066[1].

Tanbihi hariri

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.