Rutongo
Rutongo ni mji ulioko katikati ya Rwanda kwenye umbali wa karibu km 10 (maili 8) tu kutoka mji mkuu wa Rwanda, Kigali.
Jiji la Rutongo | |
Mahali pa mji wa Rutongo katika Rwanda |
|
Majiranukta: 1°49′03″S 30°03′33″E / 1.81750°S 30.05917°E | |
Nchi | Rwanda |
---|---|
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 50.000[1] |
Iko karibu sana na mstari wa ikweta kwenye kimo cha m 1579 juu ya UB. Hali ya hewa ni ya wastani: hakuna baridi kali wala joto kali.[2][3]
Kuna seminari ya awali ya Kanisa Katoliki.[4]; [5]
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Centro nutrizionale in Rwanda. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-06-02. Iliwekwa mnamo 2019-06-02.
- ↑ Rwanda, le mythe des mots
- ↑ Rutongo Mines: History. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-06-07. Iliwekwa mnamo 2019-06-02.
- ↑ eglisecatholiquerwanda.org
- ↑ Rwanda, le mythe des mots - Conférence épiscopale du Rwanda
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Rutongo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |