Sakristia (kutoka Kilatini "sacristia"; kwa Kiingereza "sacristy") ni chumba maalumu kwa ajili ya kutunza mavazi ya liturujia (kama vile alba na kasula) na vifaa vingine vya ibada za Kikristo (kama vile mkate, divai, mishumaa n.k.).[1]

Sakristia ikiwa na mavazi yameandaliwa.

Kwa kawaida sakristia iko jirani na ukumbi wa kanisa, ili padri na watumishi waingie moja kwa moja baada ya kuvaa kiibada.

Tanbihi

hariri
  1. "Vestry". English Oxford Living Dictionaries. Oxford University Press. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-11-26. Iliwekwa mnamo 2017-10-14.

Viungo vya nje

hariri
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: