Salim Yussuf Mohamed
Salim Yussuf Mohamed (amezaliwa tar. 22 Aprili 1956) ni mbunge wa jimbo la Kojani katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CUF.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Mengi kuhusu Salim Yussuf Mohamed (19 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |