Angella ("Sandie") Richards (alizaliwa Clarendon Park, 6 Novemba 1968) ni mwanariadha kutoka Jamaika. Alikuwa mshindi wa medali ya shaba katika mbio za kupokezana maji za 4x400 m katika Michezo ya Olimpiki mwaka 2004 huko Athens, Ugiriki.[1]

Marejeo

hariri
  1. "Sandie Richards".
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sandie Richards kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.