Sefrou ni mji wenye wakazi 68,272 (2008) ambao upo Moroko.

Sefrou,moroko
Sefrou,moroko

Utamaduni hariri

Sefrou inafahamika kwa sherehe (tamasha) za Sefrou Cherry iliyodhaminiwa na UNESCO, inayofanyika mwezi wa Juni kila mwaka.[1] Sherehe hii ilianzishwa mnamo mwaka 1920, ikijumuisha mashindano ya urembo ambapo wanawake wa Morocco wanashindania kuwa mlimbwende wa Cherry. Sherehe hii inadumu kwa siku tatu na kujumuisha muziki wa kitamaduni, Vyakula vya utamaduni wa Morocco na michezo.[2] Mji una Medina na misikiti miwili na kila alhamisi ni siku ya soko.

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sefrou kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. "Terre de Traces Ecolodge". The Telegraph. Iliwekwa mnamo 21 October 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Sefrou Cherry Festival", Moroccan Zest, 2018-09-14. (en-US)