Shamsa Ford

Mwigizaji wa filamu za birthday

Shamsa Ford (amezaliwa tarehe 31 Julai) ni mwigizaji wa filamu za Kitanzania.

Shamsa Ford
Nchi Tanzania
Kazi yake Mwigizaji


Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Shamsa Ford kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kazi hariri

Amepata umaarufu kutokana na kuigiza filamu kama Zawadi ya birthday, Chausiku na nyingine nyingi. Ni mwanzilishi wa Elimu Kwanza, pia ni mfanyabiashara mtendaji mkuu wa madera pambe. [1]

Familia hariri

Shamsa alifunga ndoa na mfanyabiashara mkubwa Rashid Said, maarufu kama Chidi Mapenzi, na ana mtoto mmoja wa kiume aitwae Terry.[2]

Filmografia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Shamsa Ford kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.