Sharon Firisua (amezaliwa 15 Disemba 1993) ni mwanariadha kutoka visiwa vya Solomon. Mnamo mwaka 2016 kwenye mashindano ya Olimpiki ya majira ya joto alishindana katika mbio za mita 5000.[1] Mnamo mwaka 2020 kwenye mashindano ya Olimpiki ya majira ya joto, alishindana kwenye marathon ya wanawake.[2]

Sharon Firisua akiwa Rio mwaka 2016

Maisha ya kazi hariri

Mnamo 2013 alitajwa kuwa mwanariadha wa mwaka wa Visiwa vya Solomon[3]. Alianza mazoezi mwaka 2010, na katika michezo yake ya pili ya Pasifiki ya mwaka 2015 alichukua medali mbili za dhahabu kwa mita 5000 na mita 10,000[4] na nyingine katika mbio za nusu marathoni huko Port Moresby, Papua New Guinea.

Marejeo hariri

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-11-25. Iliwekwa mnamo 2021-10-02. 
  2. "Athletics FIRISUA Sharon - Tokyo 2020 Olympics". olympics.com (kwa en-us). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-10-02. Iliwekwa mnamo 2021-10-02. 
  3. "Tokyo Olympics Results and Live Scores | NBC Olympics". results.nbcolympics.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-10-02. 
  4. "theislandsun.com". theislandsun.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-07-06. Iliwekwa mnamo 2021-10-02.