Thomas Ulimwengu
Mwanasoka wa Tanzania
Thomas Emmanuel Ulimwengu (amezaliwa 14 Juni 1993) ni mchezaji mpira wa miguu kutoka nchini Tanzania, ambaye kwa sasa anaichezea timu ya Tanzania Soccer Academy na pia huichezea timu ya taifa ya Tanzania na timu ya Taifa U-20 ya Tanzania, yaani, chini ya miaka 20.
Thomas Ulimwengu | ||
Maelezo binafsi | ||
---|---|---|
Jina kamili | Thomas Emmanuel Ulimwengu | |
Tarehe ya kuzaliwa | ||
Mahala pa kuzaliwa | Tanga, Tanzania | |
Nafasi anayochezea | Mshambuliaji | |
Maelezo ya klabu | ||
Klabu ya sasa | Tanzania Soccer Academy | |
Namba | 11 | |
Klabu za vijana | ||
2008-2010 | Tanzania Soccer Academy | |
Klabu za ukubwani | ||
Miaka | Klabu | |
2009-2010 | Moro United | |
Timu ya taifa | ||
2009-2010 | Tanzania | |
* Magoli alioshinda |
Timu ya taifa ya Tanzania U-17Edit
Katika mashindano ya Cecafa 2009 U-17 Championship yaliyofanyika Sudan alijinyakulia ubingwa wa mfungaji bora katika mashindano hayo. Timu yake ya taifa ya Tanzania ilichukua nafasi ya Tatu katika mashindano hayo.
Viungo vya njeEdit
- [1] Thomas Ulimwengu Official Website
- [2] Kiingereza
- [3] Archived 2 Februari 2011 at the Wayback Machine. Tanzania Soccer Academy Kwa Kiingereza