Timu ya Taifa ya Kandanda ya Senegal

Timu ya soka ya taifa ya Senegal, inayojulikana kama Lions of Teranga, ni timu ya taifa ya soka kutoka Senegal inayosimamiwa na Fédération Sénégalaise de Football.

Bruno Metsu, kocha wa Senegal kutoka 2000 hadi 2002. Aliiongoza Senegal kutinga robo fainali ya Kombe la Dunia 2002.
Jezi ya nyumbani za timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Senegal

Timu hii ilianzishwa mwaka 1960, imekuwa ushindani wa kawaida katika Kombe la Mataifa ya Afrika.

Mwaka 2002, Senegal ilishiriki katika Kombe la Dunia la FIFA kwa mara ya kwanza na ilifikia katika hatua ya robo fainali.

Timu ilifanya muonekano wa pili katika Kombe la Dunia la mwaka 2018, na kupata pointi 4, lakini ikatoka kwenye hatua ya makundi.

Timu ya taifa ya Senegal imerudi tena katika kombe la dunia mwaka 2022 na inatarajiwa kufanya makubwa.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Timu ya Taifa ya Kandanda ya Senegal kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.