Trikomonasi ni mojawapo kati ya maradhi ya zinaa na husababishwa na maambukizi ya protozoa anayefahamika kwa jina la kisayansi Trichomonas vaginalis.

Ugonjwa huu husababisha mwasho na karaha katika uke (kwa wanawake) na katika mfereji wa mkojo kwa wanaume. Lakini wanawake 70% na wanaume 50% hawaoni dalili wanapopatwa.

Imekadiriwa kuwa Wamarekani milioni tano huambukizwa trikomonasi kila mwaka. Kimataifa mwaka 2015 waliopatwa na ugonjwa huo walikuwa 122 milioni.

Trikomonasi huweza kutibiwa kwa urahisi na antibaotiki.

Trichomonas vaginalis
Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Trikomonasi kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.