Tuzo za Headies kwa mwimbaji bora wa R&B
Tuzo za Hedies kwa mwimbaji bora wa R&B, ni tuzo inayotolewa na The Headies, ilianzishwa mnamo mwaka 2006 na ilijulikana kama tuzo ya Dunia ya Hip Hop. Ilitolewa kwa mara ya kwanza kwa Banky W. mnamo 2010.[1] [2]
Marejeo hariri
- ↑ "The Headies Awards releases Nominees List for 12th Edition". BellaNaija. 13 April 2018. Iliwekwa mnamo 24 March 2019. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ "Winners - The Headies 2010". Hip Hop World Magazine. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-03-28. Iliwekwa mnamo 24 March 2019. Check date values in:
|accessdate=
(help)