Ufalme wa Belgin (unaojulikana pia kama Ufalme wa Baqulin) ulikuwa ufalme wa Enzi ya kati uliokuweko Kaskazini Mashariki mwa Afrika.

Kulingana na Al-Yaqubi, ilikuwa moja ya falme sita za Beja ambazo zilikuwepo katika mkoa huo wakati wa karne ya 9. Eneo la ufalme lilikuwa kati ya Aswan na Massawa. [1]

Marejeo hariri