Ulezi ni mbegu ya mlezi au mwele, aina ya nafaka ambayo hulimwa katika sehemu zenye hali ya ukame, hasa katika Ulimwengu wa Tatu.

Ulezi

Matumizi ya ulezi hariri

Unga wake hutumika kutengenezea ugali, uji na kadhalika, hasa kwa wagonjwa.

Pia unatumika kama chachu kutengeneza aina mbalimbali za pombe.