UNIDO ni kifupisho cha United Nations Industrial Development Organization yaani Shirika la Maendeleo ya Viwanda la Umoja wa Mataifa.

Nembo ya UNIDO
UNIDO-ISEC (Kituo cha Kimataifa cha Nishati ya Sola) makao makuu huko Lanzhou, China
Makala hii kuhusu "UNIDO" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.