Uriel Antuna (amezaliwa 21 Agosti 1997) ni mchezaji wa soka wa Meksiko ambaye anacheza kama winga katika klabu ya Liga MX Guadalajara na timu ya taifa ya Meksiko.

Historia yake katika soka hariri

Mnamo 2012, Antuna alijiunga na akademi ya vijana ya Santos Laguna, akifanikiwa kupitia timu za Chini ya miaka-15, Chini ya miaka-17 na Chini ya miaka-20. Mnamo 2017, meneja wa kwanza José Manuel de la Torre alimkuza Antuna. Mnamo tarehe 5 Machi, Antuna alicheza mechi yake ya kwanza ya kitaaluma katika Liga MX akiingia kama mbadala na hatimae walikupoteza kwa 2-1 dhidi ya Pumas UNAM.[1][2][3]

Marejeo hariri

  1. "Updated squads for 2017/18 Premier League confirmed". www.premierleague.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-12-03. 
  2. "LIGA MX - Página Oficial de la Liga Mexicana del Fútbol Profesional". ligamx.net. Iliwekwa mnamo 2021-12-03. 
  3. "Estrella mexicana del Sub 20 Antuna, debutó con Santos en Liga MX". web.archive.org. 2017-09-14. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-09-14. Iliwekwa mnamo 2021-12-03.