Utekaji nyara wa Malari

utekaji nyara kwa wingi nchini Nigeria

Utekaji nyara wa Malari ulitokea tarehe 1 Januari 2015, ambapo Boko Haram, shirika la kigaidi lililoko kaskazini mashariki mwa Nigeria, liliteka nyara vijana 40 kutoka kijiji cha Malari huko Borno State, Nigeria[1].

Marejeo hariri

  1. Aminu Abubakar and Greg Botelho CNN. "Villagers: Boko Haram abducts 40 boys, young men". CNN. Iliwekwa mnamo 2021-06-22.