Valensi

kipimo cha uwezo wa kipengele cha kuchanganya na atomi nyingine inapounda misombo ya kemikali au molekuli

Valensi (kwa Kiingereza: valency au valence) ni istilahi ya kemia inayotaja nguvu ya atomu ya kuunda muungo kemia na atomu nyingine. Inataja idadi ya miungo inayoweza kuundwa baina ya atomu ya elementi fulani pamoja na hidrojeni (iliyo elementi sahili zaidi).

Oksijeni huwa na valensi mara 2 ya hidrojeni, kwa hiyo molekuli ya maji H2O inahitaji atomu za hidrojeni mara mbili kuliko atomu za oksijeni

Tovuti nyingine hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Valensi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.