Istilahi (kutoka Kiar. اصطلاح‌, Kiing. term, terminology) ni neno ambalo linawakilisha dhana fulani katika fani maalumu ya elimu kama vile siasa, sayansi, uchumi, ufundi, dini au hisabati. Ni pia elimu inayochunguza matumizi ya istilahi.

Istilahi za fani mbalimbali hutajwa kwa kutumia maneno ambayo yanaweza kuwa na maana tofauti katika lugha ya kila siku au katika kawaida ya fani nyingine.

Viungo vya Nje hariri