Versailles ni mji wa Ufaransa karibu na mji mkuu wa Paris mwenye wakazi 86,000 (2004).

Jumba la Kifalme la Versailles
Bustani ya Jumba la Kifalme la Versailles

Ni maarufu kutokana na jumba la kifalme lililojengwa hapa na mfalme Louis XIV wa Ufaransa alipopeleka mji mkuu hapa kutoka Paris. Jumba hili lilikuwa baadaye kielelezo kwa majengo ya wafalme kote Ulaya.

Versailles ilikuwa pia mahali pa mikutano muhimu ya kihistoria:

Elimu hariri