Volti

(Elekezwa kutoka Volt)

Volti ni kizio cha umeme tuli au kani mwendoumeme ambao ni tofauti ya utuli baina ya mahali pawili kwenye waya kipitishio na huchukua mkondo usiobadilika wa ampea 1 kama nguvu kati ya sehemu pawili ni wati moja.

Mita za aina hii hupima volti kati ya mahali pawili
Beteri za 1.5 V
Nyaya hizi hubeba umeme kwa volti zaidi ya 1000

Kifupi chake ni V.

Fomula yake ni

Maana yake volti moja ni sawa na hisa ya wati 1 gawanya kwa ampea 1.


Volti ni kipimo cha SI. Jina limetolewa kwa heshima ya mwanafizikia Alessandro Volta kutoka Italia.

Ngazi za volti hariri

Viambishi awali Desimali
µV 1  (mikrovolti) V 0,000 001
mV 1  (milivolti) V 0,001
V1 (volti) V 1
kV 1  (kilovolti) V 1 000
MV 1 (megavolti) V 1 000 000
GV 1 (gigavolti) V 1 000 000 000