Wamadi ni kabila la watu wanaoishi kaskazini mwa Uganda (Wilaya ya Adjumani na Wilaya ya Moyo) na kusini mwa Sudan Kusini.

Mwanamume Mmadi mwishoni mwa miaka ya 1870 huko Sudan Kusini.

Wanakadiriwa kuwa zaidi ya 400,000.

Lugha ya wengi wao ni Kimadi (Madi ti), mojawapo kati ya lugha za Kisudani na leo dini yao ni Ukristo, lakini pia Uislamu.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • A'babiku, Rose A Key History of Ma'di
  • Blackings, M and Fabb N (2003) A Grammar of Ma'di: Mouton
  • Blackings, M (2000) Ma'di English - English Ma'di Dictionary. Lincom Europa.
  • Fuli, Severino (2002) Shaping a Free Southern Sudan: Memoirs of our struggle. Loa Parish.
  • Gurtong Peace Project - South Sudanese Communities[dead link]
  • Moorehead Alan, No Room in the Ark, Penguin, Middlesex, 1962.
  • The Discovery of the Source of the Nile, by John Hanning Speke
  • Ismailia, by Sir Samuel White Baker
  • The Albert N'Yanza, Great Basin of the Nile and Explorations of the Nile Sources, by Sir Samuel White Baker
  • In the Heart of Africa, by Sir Samuel White Baker
  • The Nile Tributaries of Abyssinia and the Sword Hunters of the Hamran Arabs, by Sir Samuel White Baker
  • Crabites, Pierre. Gordon, The Sudan and Slavery Greenwood Press, 1970. ISBN 0-8371-1764-X
  • Northrup, David. Beyond the Bend in the River: African Labor in Eastern Zaire, 1865-1940 Ohio University Center for International Studies, 1988. ISBN 0-89680-151-9
  • Udal, John O. The Nile in darkness: conquest and exploration, 1504-1862 Michael Russell Publishing, 1998. ISBN 0-85955-238-1

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wamadi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.