Wanyasa
Wanyasa ni kabila la watu wanaoishi hasa upande wa kaskazini mashariki wa ziwa Nyasa, kati ya nchi za Malawi, Tanzania na Msumbiji[1]. Pengine wanaitwa pia Wamanda[1].
Mwaka 2010 walikadiriwa kuwa 500,000[2].
Ngoma za Kinyasa huwa ni mganda na kioda na ngoma hizo huweza kuchezwa na jinsia zote sio kwa aina fulani tu huweza kuburudisha na kusawili mambo mbalimbali yanayofanywa na jamii hizo kwa kutumia nyimbo na midundo ya ngoma hizo zinazotendwa mbele ya umati wa watazamaji.
Tanbihi
hariri- ↑ 1.0 1.1 Yakan, Muḥammad Zuhdī (1999). Almanac of African Peoples & Nations. Transaction Publishers. uk. 580. ISBN 978-1-56000-433-2. Iliwekwa mnamo 28 Agosti 2012.
{{cite book}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Appiah, Anthony; Gates, Henry Louis (17 Februari 2010). Encyclopedia of Africa. Oxford University Press. uk. 259. ISBN 978-0-19-533770-9. Iliwekwa mnamo 28 Agosti 2012.
{{cite book}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wanyasa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |