Waoromo ni kabila kubwa la watu (35,000,000) wa jamii ya Wakushi wanaoishi nchini Ethiopia, lakini pia Kenya na Somalia.

Uenezi wa Kioromo na lahaja zake.

Lugha yao ni Kioromo, kubwa kuliko zote kati ya lugha za Kikushi.

Wengi wao ni Waislamu na Wakristo.

Tanbihi

hariri

Marejeo

hariri
  • Donald N. Levine (2014). Greater Ethiopia: The Evolution of a Multiethnic Society. University of Chicago Press. ISBN 978-0-226-22967-6. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Tsega Etefa, Integration and Peace in East Africa: A History of the Oromo Nation. New York: Palgrave Macmillan, 2012. ISBN 978-0-230-11774-7
  • Mohammed Hassan, The Oromo of Ethiopia, A History 1570–1860. Trenton: Red Sea Press, 1994. ISBN 0-932415-94-6
  • Herbert S. Lewis. A Galla Monarchy: Jimma Abba Jifar, Ethiopia 1830–1932. Madison: The University of Wisconsin Press, 1965.
  • "RIC Query – Ethiopia". INS Resource Information Center. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 1 Novemba 2005. Iliwekwa mnamo 8 Oktoba 2005. {{cite web}}: Unknown parameter |deadurl= ignored (|url-status= suggested) (help)
  • Temesgen M. Erena, Oromia: 'Civilisation, Colonisation And Underdevelopment, Oromia Quarterly, No.1, July 2002, Kigezo:ISSN.
  Makala hii kuhusu utamaduni wa Kenya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waoromo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.