Wikipedia ya Kitatar

Wikipedia ya Kitatar (kwa Kitatar: Татар Википедиясе) ni toleo la Wikipedia kwa lugha ya Kitatar.

Ilizinduliwa mnamo Septemba 2003,[1] na kwa sasa ina makala 417,678, kuifanya Wikipedia ya 33 kwa ukubwa kwa idadi ya makala.

Wikipedia hiyo ina wasimamizi pamoja na watumiaji 43,577 waliosajiliwa na watumiaji 85 wanaofanya kazi.[2]

Marejeo hariri

  1. Wikipedia Statistics - Tables - Tatar. stats.wikimedia.org. Iliwekwa mnamo 2022-10-05.
  2. WikiStats - List of Wikipedias. wikistats.wmcloud.org. Iliwekwa mnamo 2022-10-05.