Wilaya ya Babati ni wilaya mojawapo kati ya 7 za Mkoa wa Manyara.

Mahali pa Babati (kijani cheusi) katika mkoa wa Manyara.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Babati ilihesabiwa kuwa 303,013 [1]

Mwaka 2012 wilaya hiyo ilimegwa ili kuunda Wilaya ya Babati Mjini (Babati Town Council). Katika sensa ya mwaka 2022 wazazi waliobaki upande wa vijijini walihesabiwa 375,200 [2].

Marejeo hariri

  1. Tanzania.go.tz/census/districts/babati. Jalada kutoka ya awali juu ya 2003-12-17. Iliwekwa mnamo 2003-12-17.
  2. https://www.nbs.go.tz
  Kata za Wilaya ya Babati Vijijini - Mkoa wa Manyara - Tanzania  

Arri | Ayalagaya |Ayasanda | Bashnet | Boay | Dabil | Dareda | Duru | Endakiso | Gallapo | Gidas | Kiru | Kisangaji | Madunga | Magara | Magugu | Mamire | Mwada | Nar | Nkaiti | Qameyu | Qash | Riroda | Secheda | Ufana


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Manyara bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Babati kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.